joao ameumia katika mchezo ulio wakutanisha atletico madrid na valencia katika dimba la wanda metropolitano na mchezo huo ulimalizika kwa sare ya 1 - 1.
JOAO FELIX NJE WIKI TATU
Mshambuliaji kinda wa atletico madrid atalazimika kukaa njee ya uwanja kwa mda wa wiki tatu kufuatia kukumbwa na majeraha ya kifundo cha mguu.


0 comments:
Post a Comment